Uislamu nchini Rwanda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Rwanda ni dini yenye wafuasi wachache mno nchini humo, inaabudiwa na watu asilimia 2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo - kwa sensa ya mwaka wa 2012. Wako zaidi upande wa mashariki wa nchi na katika miji mikubwa. Sehemu kubwa ya Waislamu wa Rwanda ni wale wa dhehebu la Sunni.
Uislamu kwa nchi | ||||
|