Uislamu nchini Liberia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Liberia unakadiriwa kufuatwa na watu karibia asilimia 12.2 ya idadi ya wakazi wote wa nchini humo.[1]
Uislamu kwa nchi | ||||
|
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Liberia ni wale wanaofuata mafundisho ya Maliki dhehebu la Sunni, kukiwa na idadi kiasi ya Shia na Ahmadiyya.[2] Kundi kubwa la Waislamu nchini humo ni la kabila la Wavai na Mandingo lakini pia Wagbandi, Kpelle na jamii zingine ndogondogo.[3]